π‚π‡πŽπ‘π„π’π“π„π‘πŽπ‹ π‡π€πˆπ’π€ππ€ππˆπ’π‡πˆ πŒπ€π†πŽππ‰π–π€ π˜π€ 𝐌𝐎𝐘𝐎

wasiokula vyakula vya wanyama wako hatarini kupatwa na magonjwa sugu ya lishe 7

JE DAKTARI NATAKIWA NILE MAYAI MANGAPI KWA SIKU? NAAMBIWA YANA CHOLESTEROL NYINGI NILE MAYAI 3 KWA WIKI NZIMA.

Jibu: Ni kweli elimu hizi zina utata sana. Hata mimi mara ya kwanza nimekula yai zima baada ya kuijua elimu ya #sayansiyamapishi mbali na kwamba nimekulia kijijini bibi yangu akiwa mfugaji mzuri sana wa kuku.

Halafu nashangaa kwamba unapomwambia mtu β€œAtupe kiini cha Yai” Maana yake Anakula yai ambalo β€œ Halina Vitamin A,D,E na K” , kwasababu aana Kiini cha Yai ndo Kila aina ya madini na vitamin hukaa. Mbali na hivyo unapotupa kiini unatupa aina ya mafuta yanayosaidia kutibia majeraha ya mwili yaani Omega 3 Ant inflammatory Fats. Sasa Unachokula β€œKiini cheupe unapata Nini humo” Kwa nini magonjwa yasikuandame? Labda utembee na makopo ya Virutubisho na virutubisho vyenyewe ghali kweli kweli β€œVegen wanatuumiza sana”

2425074 600x400

Kwa nini tunaambiwa mayai ni Mabaya?Kwa sababu β€œCholestrol inahusishwa kusababisha magonjwa ya moyo” Ingawaje sasa hivi Kuna Ushindi Mwingi sana Kisayansi unao KANUSHA KWAMBA CHOLESTROL PEKEE HAIWEZI KUSABABISHA MAGONJWA YA MOYO, HADI KUWEPO NA MAJERAHA KWENYE KUTA ZA MISHIPA YA DAMU.

Ina maana Siku sio nyingi tutarudia Ukweli wa sayansi Unaosema β€œDalili ya awali kabisa ya magonjwa ya moyo kabla ya mrundikano wa cholestrol kwenye mishipa ya damu huwa ni Majeraha” Ina maana Kisababishi cha Mrundikano ni KILE KINACHOLETA MAJERAHA.

Lakini BADO WATU WANANG’ANG’ANIA ELIMU ILE ILE POTOSHI.

Haya ushahidi mwingine Mwongozo wa lishe mwaka 2010-2015 ulisema tule cholestrol isiyozidi 300mg kwa siku. Ndio maana watu Kampeni hio wameikomalia hadi sasa. Ila nawataarifu tu kwamba Mwongozo wa Lishe wa Amerika ambao ndo wakidunia β€œHaujaweka Ukomo wa Kiwango cha cholestrol kwa siku kama ilivyo Miongozo ya Nyuma” Mwongozo 2015-2020

Ukisoma Wameandika hivi β€œ Hatujeweka Ukomo wa cholestrol katika Mwongozo huu, Ila Haimaanishi kwamba Usiwe na Woga na cholestrol”

Nawaambia tusubili labda wajukuu zangu wataambiwa β€œTumehangaika kushusha cholestrol na Kupata athari kubwa za dawa na viwanda kuingiza pesa nyingi, Kumbe hatukujuwa kisababishi cha magonjwa ya moyo sio cholestrol”

Hebu Fikiria kwa nini β€œTUSIWEKEWE UKOMO KWENYE KITU HATARI” ?

KWA ELIMU ZAIDI KUHUSU LISHE BORA NA MAGONJWA YA LISHE JIUNGE NA PROGRAMU ZETU HAPO CHINI↓↓

 Kwa mawasiliano piga 0767030160 kupata utaratibu wa kufanya malipo na namna ya kuanza masomo.

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *