Watu wengi hujitapa kwamba uzito wao hauwaathiri afya zao. uzito mkubwa huwa havileti madhara kw amuda mfupi, kadri unavyokaa na uzito mkubwa ndivyo maradhi sugu yanavyozidi kujijenga katika mwili wako.

Madhara ya uzito mkubwa na kitambi.
๐จ ๐ฉ๐ถ๐๐ป๐ด๐ผ ๐ธ๐๐๐ฎ๐ด๐ถ๐ธ๐ฎ ๐ป๐ฎ ๐บ๐ถ๐ด๐๐ ๐ธ๐๐๐ฎ๐ธ๐ฎ ๐บ๐ผ๐๐ผ.
Kadri unavyozidi kuongezeka uzito ndivyo unavyozidi kuongeza uzito kwenye pingili zako kama pingili za mgongo, nyayo kuwaka moto, magoti kuuma,
๐จ ๐ ๐ผ๐๐ผ ๐ธ๐๐ฝ๐ฎ๐ป๐๐ธ๐ฎ ๐ป๐ฎ ๐ธ๐๐ฝ๐ฎ๐๐ฎ ๐๐ต๐ถ๐ป๐ถ๐ธ๐ถ๐๐ผ ๐น๐ฎ ๐ฑ๐ฎ๐บ๐.
Kadri unavyozidi kunenepa ndivyo moyo wako unavyozidi kusukuma mzigo mkubwa na kupanuka uwezo wa kupata shinikizo la damu kuwa mkubwa kwasababu mwili kungangania maji yasiyokuwa na kazi. ndio mana wenye uzito mkubwa mwili huwa unajaa na kubonyea kama kiazi.
๐จ ๐ ๐ฎ๐๐ฎ๐๐ถ๐๐ผ ๐๐ฎ ๐บ๐ฐ๐ต๐ฎ๐ฟ๐๐ธ๐ผ ๐๐ฎ ๐บ๐๐ถ๐น๐ถ.
Uzito mkubwa unasababisha magonjwa ya aleji kama, pumu ya kifua, pumu ya ngozi na mafua makali. Mwili wa binadamu huwa na kiwango chake cha kuhifadhii mafuta ya ziada kwahiyo endapo mafuta ya ziada yakizidi kiwango kinachotakiwa kwasababu ya uzito mkubwa mtu atapata aleji au mzio sugu.

๐จ ๐ ๐ฎ๐๐ฎ๐๐ถ๐๐ผ ๐๐ฎ ๐๐ด๐๐บ๐ฏ๐ฎ ๐ธ๐๐ฎ ๐๐ฎ๐ป๐ฎ๐๐บe.
Mwanaume anahomoni ya kiume ambayo inatawala mwilini inayofanya mwanaume kuwa na nguvu, maumbile ya kiume na kufanya apate hamu ya tendo la ndoa. Uzito mkubwa husababisha homoni za kiume zisiweze kutawala mwilini na kufanya ubora wa mbegu za kiume na wingi wa mbegu za kiume kupugua pamoja na hisia za tendo la ndoa kushuka.
๐จ ๐จ๐ด๐๐บ๐ฏ๐ฎ ๐ธ๐๐ฎ ๐บ๐๐ฎ๐ป๐ฎ๐บ๐ธ๐ฒ
Mwanamke anaweza kuoata hitilafu ambazo zinavuruga homoni za kike na kufanya ovari zisiweze kukomaza mayai kila mwezi hata kama unapata hedhi. Uzito mkubwa unasababisha ovari kushindwa kukomaza mayai na ubora wa mayai kupungua na kufanya mwanamke kupata ugumba.
๐จ ๐๐๐ฝ๐ฎ๐๐ฎ ๐๐ฐ๐ต๐ผ๐๐ ๐๐ฎ ๐ธ๐๐๐ฑ๐บ๐
Kuna watu wengi tu hawawezi kufanya kazi mbalimbali hata kushindwa kufurahia tendo la ndoa kwasababu ya kuwa na uchovu wa kudumu kwasababu ya uzito mkubwa.

๐จ ๐ฆ๐ฒ๐น๐ถ ๐๐ฎ ๐บ๐ถ๐๐ถ๐น๐ถ ๐ธ๐๐ฐ๐ต๐ฎ๐ธ๐ฎ๐ฎ.
Uzito mkubwa unaweza kusababisha seli za mwili kuchakaa hasa sseli zinazoratibu matumizi ya sukari mwilini na kufanya mtu kuwa katika hatua za awali za kuugua ugonjwa wa kisukari.
๐จ ๐๐๐ฝ๐ฎ๐๐ฎ ๐ด๐ฒ๐๐ถ, ๐ธ๐ถ๐๐ป๐ด๐๐น๐ถ๐ฎ ๐ฎ๐ ๐๐๐บ๐ฏ๐ผ ๐ธ๐๐ฎ๐ธ๐ฎ ๐บ๐ผ๐๐ผ.
Uzito mkubwa husababisha gesi na kiungulia na njaa za mara kwa mara. Ili kuondoa matatizo hayo basi anza kupunguza uzito na utapata matokeo mazuri ndaniya muda mfupi.
Nakushauri usiendelee kukaa na mafuta ya ziada katika mwili wako, anza kuondoa mafuta ya ziada kwa kupunguza uzito ili uepukane na madhara yote ya uzito mkubwa ili kupunguza matatizo ya dawa.
Jifunze zaidi; Tazama Video hii
๐๐๐๐:
Nakushauri kupata Kitabu cha ๐ฆ๐ฎ๐๐ฎ๐ป๐๐ถ ๐๐ฎ ๐ ๐ฎ๐ฝ๐ถ๐๐ต๐ถ kinatoa elimu ya manunuzi, elimu ya magonjwa ya lishe, elimu ya vyakula sahihi kwa afya na mpangilio wa chakula ili kudhibiti kitambi na uzito mkub.
KWA USHAURI NA MATIBABU
๐Karibu ๐ก๐๐ฎ๐บ๐ฏ๐ผ ๐๐ฒ๐ฎ๐น๐๐ต๐ฐ๐ฎ๐ฟ๐ฒ tupo mkabala na ๐ต๐ผ๐๐ฝ๐ถ๐๐ฎ๐น๐ถ ๐ ๐๐ฎ๐ป๐ฎ๐๐ฎ๐บ๐ฎ๐น๐ฎ.


