Msongo wa mawazo ni ile hali ya kulifikiria jambo kwa kina zaidi ndani ya muda mrefu bila kupata ufumbuzi au majibu.
Athari za msongo wa mawazo hutokea pale lile jambo linalokusababishia msongo likakaa kwa mda mrefu. Jinsi unazidi kifikiria jambo hilo ndipo athari yake huwa kubwa zaidi.
Msongo wa mawazo unaweza kusababishwa na mambo tofauti tofauti kama vile matatizo ya kifamilia, matatizo ya uchumi na biashara, madeni yanapokua mengi, matatizo ya kikazi, magonjwa.

Hebu tujifunze, mtu anapopatwa na msongo wa mawazo, anaweza kupata athari gani?
𝗞𝘂𝗽𝗮𝘁𝗮 𝗺𝗮𝗴𝗼𝗻𝗷𝘄𝗮 𝗺𝗯𝗮𝗹𝗶𝗺𝗯𝗮𝗹𝗶 𝘆𝗮 𝗹𝗶𝘀𝗵𝗲 𝗸𝗮𝗺𝗮 𝘃𝗶𝗹𝗲 𝗸𝗶𝘀𝘂𝗸𝗮𝗿𝗶, 𝗽𝗿𝗲𝘀𝗵𝗮, 𝗺𝘇𝗶𝗼 𝘀𝘂𝗴𝘂 𝗮𝘂 𝗮𝗹𝗲𝗷𝗶, 𝗸𝗶𝘂𝗻𝗴𝘂𝗹𝗶𝗮 𝘆𝗮𝗻𝗮𝘄𝗲𝘇𝗮 𝗸𝘂𝗶𝗯𝘂𝗸𝗮 𝗸𝘂𝘁𝗼𝗸𝗮𝗻𝗮 𝗻𝗮 𝗺𝘀𝗼𝗻𝗴𝗼.
𝗞𝘂𝘄𝗮 𝗺𝘀𝗮𝗵𝗮𝘂𝗹𝗶𝗳𝘂 𝘄𝗮 𝗺𝗮𝗺𝗯𝗼 𝗺𝗮𝗿𝗮 𝗸𝘄𝗮 𝗺𝗮𝗿𝗮 𝗸𝘄𝗮𝘀𝗮𝗯𝗮𝗯𝘂 𝗺𝘀𝗼𝗻𝗴𝗼 𝘄𝗮 𝗺𝗮𝘄𝗮𝘇𝗼 𝘂𝗻𝗮𝗶𝘁𝗲𝗸𝗮 𝗮𝗸𝗶𝗹𝗶 𝗻𝗮 𝗸𝘂𝗳𝗮𝗻𝘆𝗮 𝗞𝘂𝘁𝗼𝗸𝘂𝘄𝗮 𝗻𝗮 𝗸𝘂𝗺𝗯𝘂𝗸𝘂𝗺𝗯𝘂 𝘆𝗮 𝗷𝗮𝗺𝗯𝗼 𝘂𝗻𝗮𝗹𝗼𝗹𝗶𝗳𝗮𝗻𝘆𝗮.
𝗞𝘂𝗽𝗮𝘁𝗮 𝗺𝗮𝘂𝗺𝗶𝘃𝘂 𝘆𝗮 𝗺𝗶𝘀𝘂𝗹𝗶 𝗸𝘂𝗸𝗮𝗸𝗮𝗺𝗮𝗮 𝗸𝘂𝘁𝗼𝗸𝗮𝗻𝗮 𝗻𝗮 𝗺𝘀𝗼𝗻𝗴𝗼 𝘄𝗮 𝗺𝗮𝘄𝗮𝘇𝗼 𝗸𝘂𝘄𝗮 𝗸𝗮𝘁𝗶𝗸𝗮 𝗵𝗮𝗹𝗶 𝗺𝗯𝗮𝘆𝗮.
𝗞𝘂𝗽𝗮𝘁𝗮 𝗸𝗶𝘂𝗻𝗴𝘂𝗹𝗶𝗮❟ 𝗴𝗲𝘀𝗶 𝗻𝗮 𝘁𝘂𝗺𝗯𝗼 𝗸𝘂𝘄𝗮𝗸𝗮 𝗺𝗼𝘁𝗼 𝗸𝘂𝘁𝗼𝗸𝗮𝗻𝗮 𝗻𝗮 𝘁𝗶𝗻𝗱𝗶𝗸𝗮𝗹𝗶 𝗸𝘂𝗺𝘄𝗮𝗴𝘄𝗮 𝗸𝘄𝗮 𝘄𝗶𝗻𝗴𝗶 𝗸𝘄𝗲𝗻𝘆𝗲 𝗺𝗳𝘂𝗸𝗼 𝘄𝗮 𝗰𝗵𝗮𝗸𝘂𝗹𝗮 𝗻𝗮 𝗸𝘂𝘀𝗮𝗯𝗮𝗯𝗶𝘀𝗵𝗮 𝗺𝗶𝗰𝗵𝘂𝗯𝘂𝗸𝗼 𝗸𝘄𝗲𝗻𝘆𝗲 𝗺𝗳𝘂𝗸𝗼 𝘄𝗮 𝗰𝗵𝗮𝗸𝘂𝗹𝗮。
𝗞𝘂𝘄𝗮 𝗻𝗮 𝗵𝗮𝘀𝗶𝗿𝗮 𝗸𝘄𝗮𝘀𝗮𝗯𝗮𝗯𝘂 𝘆𝗮 𝗸𝗶𝗳𝗶𝗸𝗶𝗿𝗶𝗮 𝗷𝗮𝗺𝗯𝗼 𝗸𝘄𝗮 𝗸𝗶𝗻𝗮 𝗯𝗶𝗹𝗮 𝗸𝘂𝗽𝗮𝘁𝗮 𝗺𝗮𝗷𝗶𝗯𝘂 𝗸𝘄𝗮 𝗵𝗮𝗿𝗮𝗸𝗮.

𝗞𝘂𝗽𝘂𝗻𝗴𝘂𝗮 𝘂𝘇𝗶𝘁𝗼 𝗸𝘄𝗮 𝗸𝗮𝘀𝗶 𝗸𝘂𝘁𝗼𝗸𝗮𝗻𝗮 𝗻𝗮 𝗵𝗮𝗹𝗶 𝘆𝗮 𝗞𝘂𝗸𝗼𝘀𝗮 𝗵𝗮𝗺𝘂 𝘆𝗮 𝗸𝘂𝗹𝗮 𝗸𝘄𝗮𝘀𝗮𝗯𝗮𝗯𝘂 𝘆𝗮 𝗸𝗶𝗳𝗶𝗸𝗶𝗿𝗶𝗮 𝘀𝗮𝗻𝗮 𝗷𝗮𝗺𝗯𝗼.
Msongo wa mawazo unaweza kuzuilika endapo lile jambo litatizamwa kwa ufinyu, yani kukufkiria jambo kwa ufupi na kutafuta majibu yake. Hali hiyo upate majibu sahihi ya jambo lako kwa muda mfupi bila kuumiza mwili.
Lakini pia kulitizama jambo katika mapana kunasaidia kuondoa msongo wa mawazo kwasababu itarahisisha kupata majibu mengi ya jambo linalokutatiza bila kuumiza mwili.
Jifunze zaidi; Tazama Video hii;


