๐’๐€๐๐€๐๐” ๐™๐€ ๐–๐€๐๐€๐”๐Œ๐„ ๐Š๐”๐Š๐Ž๐’๐€ ๐‡๐ˆ๐’๐ˆ๐€ ๐™๐€ ๐“๐„๐๐ƒ๐Ž ๐‹๐€ ๐๐ƒ๐Ž๐€

tendo la ndoa 768x432

Mwanaume anaweza asiwe na magonjwa kama kisukari, shinikizo la damu au maradhi yoyote ambayo yanamusumbua lakini uwezo wake wa kushirikii tendo la ndoa kitandani ukawa umepungua kwa kiasi kikubwa sana.

Moja ya chanzo kinachokusababishia mwanaume asifurahie ndoa yake ni


๐Š๐ฎ๐ฉ๐š๐ง๐š๐๐š ๐ค๐ฐ๐š ๐ก๐จ๐ฆ๐จ๐ง๐ข ๐ฒ๐š ๐๐ซ๐จ๐ฅ๐š๐œ๐ญ๐ข๐ง.

Homoni ya  ๐๐ซ๐จ๐ฅ๐š๐œ๐ญ๐ข๐ง ni homoni inayotengenezwa na tezi katika ubongo, tezi hiyo inaitwa ๐ˆ๐ง๐ญ๐ž๐ซ๐ข๐จ๐ซ ๐๐ข๐ญ๐ฎ๐ข๐ญ๐š๐ซ๐ฒ ๐†๐ฅ๐š๐ง๐. Inashauriwa kwamba homoni hii ya  ๐๐ซ๐จ๐ฅ๐š๐œ๐ญ๐ข๐ง inatakiwa iwe katika kiwango kidogo sana kwasababu homoni hii inahusika sana kwa mwanamke mjamzito au kumsaidia mwanamke kuweza kunyonyesha.

Kwakuwa homoni hii inazalishwa pia kwa mwanaume na mwili wake hauna shuhuli au kazi ya kubeba mimba au kunyonyesha basi inatakiwa izalishwe  katika kiwango kidogo sana ili kuwezesha shuhuli nyengine za mwili kukamilika bila kuathiri mwili.

Tatizo la homoni yaย  ๐๐ซ๐จ๐ฅ๐š๐œ๐ญ๐ข๐งย kuwa juu katika damu ya mwanaume yaniย ๐‡๐ฒ๐ฉ๐ž๐ฉ๐ซ๐จ๐ฅ๐š๐œ๐ญ๐ข๐ง๐ž๐ฆ๐ข๐š, mwanaume atapata athari zifuatazo;

โ‡’๐ˆ๐ง๐š๐ฉ๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ๐ณ๐š ๐ฎ๐ญ๐ž๐ง๐ ๐ž๐ง๐ž๐ณ๐ฐ๐š๐ฃ๐ข ๐ฐ๐š ๐ฆ๐›๐ž๐ ๐ฎ ๐ค๐ฐ๐š ๐ฆ๐ฐ๐š๐ง๐š๐ฎ๐ฆ๐ž.

Inawezakuwa mwanaume umeshapima na kugundua kwamba mbegu zako ziko chache basi moja ya kiashiria kinachoshusha kiwango cha uzalishwaji wa mbegu zako ni kwamba homoni ya ๐๐ซ๐จ๐ฅ๐š๐œ๐ญ๐ข๐ง imepanda katika damu na kusababisha tatizo hilo la kuwa na mbegu kidogo.

shutterstock 1729512790 copy

โ‡’๐ˆ๐ง๐š๐ฌ๐ก๐ฎ๐ฌ๐ก๐š ๐ค๐ข๐ฐ๐š๐ง๐ ๐จ ๐œ๐ก๐š ๐ก๐จ๐ฆ๐จ๐ง๐ข ๐ฒ๐š ๐ค๐ข๐ฎ๐ฆ๐ž (๐“๐ž๐ฌ๐ญ๐จ๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐จ๐ง๐ž)

๐“๐ž๐ฌ๐ญ๐จ๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐จ๐ง๐ž ni homoni inayoratibu utengenezaji wa mbegu za kiume, inaratibu untengenezaji wa hamu, matamanio na kupanda kwa hisia wakati wa tendo la ndoa. Kwahiyo kitendo cha homoni ya ๐๐ซ๐จ๐ฅ๐š๐œ๐ญ๐ข๐ง  kupanda inamfanya mwanaume kushindwa kushiriki tendo la ndoa na hata kupelekea kushindwa kutungisha mimba.

โ‡’๐Œ๐š๐ฎ๐ฆ๐›๐ข๐ฅ๐ž ๐ฒ๐š ๐ฌ๐ž๐ก๐ฃ๐ž๐ฆ๐ฎ ๐ณ๐š ๐ฌ๐ข๐ซ๐ข ๐ค๐ฎ๐ฉ๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ๐š, ๐ฆ๐ฐ๐š๐ง๐š๐ฎ๐ฆ๐ž ๐ค๐ฎ๐จ๐ญ๐š ๐ฆ๐š๐ญ๐ข๐ญ๐ข vyote vinamfanya mwanaume kukosa uhuru wa kujiamini vinasababishwa na homoni hiyo ya  ๐๐ซ๐จ๐ฅ๐š๐œ๐ญ๐ข๐ง   kuwa juu.

Hayo yote yanaweza yakaondoka endapo ukajua nini kinachosababisha homoni ya  ๐๐ซ๐จ๐ฅ๐š๐œ๐ญ๐ข๐ง  kupanda na kukufanya uanaume wako kuondoka kwa kukosa ujasiri kwa kuwahi kituo cha afya kufanya uchunguzi na kuanza matibabu ya haraka.

๐ƒ๐ซ. ๐๐จ๐š๐ณ ๐Œ๐ค๐ฎ๐ฆ๐›๐จ ametoa elimu na mafundisho mbalimbali yanayohusiana na matatizo ya uzazi kwa wanaume pamoja na wanawake kupitia chaneli ya Youtube na mafunzo ya mtandaoni http://www.nsamboshop.co.tz

Jifunze zaidi; bonyeza link hii

๐๐:

Nakushauri kupata Kitabu cha ๐—ฆ๐—ฎ๐˜†๐—ฎ๐—ป๐˜€๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐— ๐—ฎ๐—ฝ๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ถ. Kitabu kinatoa elimu ya magonjwa ya lishe, elimu ya sayansi ya vyakula sahihi kwa afya na mpangilio wa chakula utakaokusaidia kuondokana na magonjwa ya lishe kama kisukari, kitambi na uzito mkubwa, shinikiizo la damu upungufu wa nguvu za kiume n.k.

KWA USHAURI NA MATIBABU

Karibu ๐—ก๐˜€๐—ฎ๐—บ๐—ฏ๐—ผ ๐—›๐—ฒ๐—ฎ๐—น๐˜๐—ต๐—ฐ๐—ฎ๐—ฟ๐—ฒ tupo mkabala na ๐—ต๐—ผ๐˜€๐—ฝ๐—ถ๐˜๐—ฎ๐—น๐—ถ ๐— ๐˜„๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐˜†๐—ฎ๐—บ๐—ฎ๐—น๐—ฎ.

Tupigie ๐Ÿฌ๐Ÿณ๐Ÿฒ๐Ÿณ๐Ÿฌ๐Ÿฏ๐Ÿฌ๐Ÿญ๐Ÿฒ๐Ÿฌ

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *